Jina la zakayo Magulu si geni hasa wale waangaliaji wa kwaya na movie za Marehemu kanumba. mimi nilimfahamu alipoturekodi mkanda wa kwaya yetu ya Revival Magomeni kipindi hicho akiwa na Mtitu Game na akawa ana record movie na baadae akawa anafaya kazi ya kurekodi filamu za marehemu Kanumba. na katika blog ya kanumba the great aliwahi kusema kuwa Zakayo he the best camera man in Tanzania. nami naamini kutokana na kazi nyingi ambazo amezifanya na anaendelea kuzifanya. na hata DVD ya sifa zivume ya John Lisu ni moja ya camera man waliorekodi. sasa mwaka huu anakuja kivingine kabisa kwani yeye mwenyewe sasa ana andaa tamasha kubwa la kisasa kwani vitatumika technolojia mpya katika kuboresha DVD hiyo iwe kwenye viwango vya kimataifa. katika ukurasa wake wa fb ameandika hivi
Monday, October 29, 2012
ZAKAYO MAGULU CAMERA MAN NO 1 TANZANIA KUANDAA TAMASHA LA KUREKODI DVD LIVE DEC 23 MWISHO WA MWAKA HUU
Jina la zakayo Magulu si geni hasa wale waangaliaji wa kwaya na movie za Marehemu kanumba. mimi nilimfahamu alipoturekodi mkanda wa kwaya yetu ya Revival Magomeni kipindi hicho akiwa na Mtitu Game na akawa ana record movie na baadae akawa anafaya kazi ya kurekodi filamu za marehemu Kanumba. na katika blog ya kanumba the great aliwahi kusema kuwa Zakayo he the best camera man in Tanzania. nami naamini kutokana na kazi nyingi ambazo amezifanya na anaendelea kuzifanya. na hata DVD ya sifa zivume ya John Lisu ni moja ya camera man waliorekodi. sasa mwaka huu anakuja kivingine kabisa kwani yeye mwenyewe sasa ana andaa tamasha kubwa la kisasa kwani vitatumika technolojia mpya katika kuboresha DVD hiyo iwe kwenye viwango vya kimataifa. katika ukurasa wake wa fb ameandika hivi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment